Wazo Kibubu
Mwanachama akitaka kufunga akaunti hii, atapoteza sifa za kupata faida zilizozalishwa katika mwaka husika
Utaratibu wa akaunti hii, utakuwa kama ifuatavyo:
- Fedha zitatolewa na mzazi/ mlezi hadi mtoto huyo atakapofikisha umri wa miaka 18, ambapo mzazi/mlezi atatoa idhini ya maandishi kwa mtoto husika kuwa ataendesha akaunti yake mwenyewe.
- Kiwango cha chini cha kufungua akaunti ni Tsh 50,000/=
- Mwenye Akaunti hii, hatoruhusiwa kuchukua hela wakati wowote isipokua mara moja kwa mwaka. (desemba)
- Fedha katika akaunti hii zitalipwa riba kiasi cha asilimia 5% kwa mwaka.
- Fedha katika akaunti hii, haiwezi kutumika kama dhamana ya mkopo.
Stay Updated with Wazo Hill SACCOS Ltd
Be the first to know about new services, opportunities, and updates tailored for our members.